Swali: Ni ipi hukumu ya kumfanyia Hajj au ´Umrah pasina idhini ya anayefanyiwa hivo ikiwa ni katika wale ambao hawawezi kufanya Hajj?
Jibu: Ni lazima kupatikane idhini yake. Kwa kuwa huku ni kuwakilisha. Ni lazima kupatikane idhini ya muwakilishaji ili aweze kunuia. Kwa kuwa kila ´Ibaadah ni lazima kupatikane nia. Sababu ni ili yule muwakilishaji aweze kunuia anayemhijia. Ama maiti hakuhitajii idhini kwa kuwa hawezi kutoa idhini. Afanyiwe Hajj. Ama aliye hai, ni lazima ichukuliwe rai yake.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (23) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1431-04-12.mp3
- Imechapishwa: 14/11/2014
Swali: Ni ipi hukumu ya kumfanyia Hajj au ´Umrah pasina idhini ya anayefanyiwa hivo ikiwa ni katika wale ambao hawawezi kufanya Hajj?
Jibu: Ni lazima kupatikane idhini yake. Kwa kuwa huku ni kuwakilisha. Ni lazima kupatikane idhini ya muwakilishaji ili aweze kunuia. Kwa kuwa kila ´Ibaadah ni lazima kupatikane nia. Sababu ni ili yule muwakilishaji aweze kunuia anayemhijia. Ama maiti hakuhitajii idhini kwa kuwa hawezi kutoa idhini. Afanyiwe Hajj. Ama aliye hai, ni lazima ichukuliwe rai yake.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (23) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1431-04-12.mp3
Imechapishwa: 14/11/2014
https://firqatunnajia.com/kumhijia-asiyeweza-kuhiji-pasina-idhini-yakeni/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)