Swali: Katika mji wetu watu wamezowea kumfunua maiti uso baada ya kumtia ndani ya kaburi. Je, tendo hili ni katika Sunnah au hapana?
Jibu: Hili sio katika Sunnah. Hili ni katika matendo ya wajinga. Hakufunuliwi kitu kwa maiti. Akivikwa sanda hafunuliwi kitu chochote kutoka kwake. Isipokuwa kwa yule anayetaka kumbusu, hakuna neno. Lakini baada ya hapo afike anamfunika.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Sharh Zaad-il-Ma´aad (10) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1430-10-29.mp3
- Marejeo: Firqatunnajia.com
- Imechapishwa: 11/11/2014
Jibu: Hili sio katika Sunnah. Hili ni katika matendo ya wajinga. Hakufunuliwi kitu kwa maiti. Akivikwa sanda hafunuliwi kitu chochote kutoka kwake. Isipokuwa kwa yule anayetaka kumbusu, hakuna neno. Lakini baada ya hapo afike anamfunika.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Sharh Zaad-il-Ma´aad (10) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1430-10-29.mp3
Marejeo: Firqatunnajia.com
Imechapishwa: 11/11/2014
http://firqatunnajia.com/kumfunua-maiti-uso-baada-ya-kumtia-ndani-ya-kaburi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)