Swali: Je, mswaliji anaweza kuwafuata waswaliji kwenye TV au haijuzu kufanya hivo?
Jibu: Hapana, asiwafuate. Isipokuwa akiwa msikitini ambapo anasikia sauti ya imamu. Ama akiwa nyumbani kwake au kwenye maduka mengine asiwafuate. Bali ni wajibu kwake ajitahidi kwenda msikitini na aswali pamoja na wengine. Ama akiwa nyumbani kwake au sehemu nyingine aswali peke yake. Asimfuate imamu.
- Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alifta.net/Fatawa/fatawaChapters.aspx?languagename=ar&View=Page&PageID=1232&PageNo=1&BookID=5
- Imechapishwa: 20/03/2018
Swali: Je, mswaliji anaweza kuwafuata waswaliji kwenye TV au haijuzu kufanya hivo?
Jibu: Hapana, asiwafuate. Isipokuwa akiwa msikitini ambapo anasikia sauti ya imamu. Ama akiwa nyumbani kwake au kwenye maduka mengine asiwafuate. Bali ni wajibu kwake ajitahidi kwenda msikitini na aswali pamoja na wengine. Ama akiwa nyumbani kwake au sehemu nyingine aswali peke yake. Asimfuate imamu.
Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alifta.net/Fatawa/fatawaChapters.aspx?languagename=ar&View=Page&PageID=1232&PageNo=1&BookID=5
Imechapishwa: 20/03/2018
https://firqatunnajia.com/kumfuata-imamu-kwenye-tv-au-redio/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)