Swali: Ni ipi hukumu ya matabano ambayo huandikwa kwenye karatasi au sahani kwa rangi ya zafarani kisha inaoshwa na kunywewa?
Jibu: Ikiwa sio talasimu basi nataraji kuwa hakuna neno. Ibn-ul-Qayyim ametaja kwamba yamefanywa na baadhi ya wanafunzi wa Imaam Ahmad. Lakini imeshurutishwa watu wasiendi mbali zaidi. Kule kujipaka kichwa chake rangi ya zafarani au mfano wa kitendo kama hicho hakitakiwi. Msingi ni kusomewa mgonjwa na kufanyiwa matabano au kukasomwa ndani ya maji kisha akayaoga au akayanywa.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (17)
- Imechapishwa: 13/11/2020
Swali: Ni ipi hukumu ya matabano ambayo huandikwa kwenye karatasi au sahani kwa rangi ya zafarani kisha inaoshwa na kunywewa?
Jibu: Ikiwa sio talasimu basi nataraji kuwa hakuna neno. Ibn-ul-Qayyim ametaja kwamba yamefanywa na baadhi ya wanafunzi wa Imaam Ahmad. Lakini imeshurutishwa watu wasiendi mbali zaidi. Kule kujipaka kichwa chake rangi ya zafarani au mfano wa kitendo kama hicho hakitakiwi. Msingi ni kusomewa mgonjwa na kufanyiwa matabano au kukasomwa ndani ya maji kisha akayaoga au akayanywa.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (17)
Imechapishwa: 13/11/2020
https://firqatunnajia.com/kumfanyia-mgonjwa-matabano-kwa-zafarani/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)