Swali: Nilipata watoto wawili; mvulana na msichana. Msichana akawa amekufa siku ya nne. Nikamchinjia mvulana ng´ombe mbili na sikumchinjia msichana. Je, kuna ubaya kwa hilo?
Jibu: Anatosha ng´ombe mmoja kwa mvulana. Msichana na yeye anahitajia ´Aqiyqah, mchinjie Shaat (mbuzi au kondoo) mmoja.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (28) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1431-5-25.mp3
- Imechapishwa: 15/11/2014
Swali: Nilipata watoto wawili; mvulana na msichana. Msichana akawa amekufa siku ya nne. Nikamchinjia mvulana ng´ombe mbili na sikumchinjia msichana. Je, kuna ubaya kwa hilo?
Jibu: Anatosha ng´ombe mmoja kwa mvulana. Msichana na yeye anahitajia ´Aqiyqah, mchinjie Shaat (mbuzi au kondoo) mmoja.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (28) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1431-5-25.mp3
Imechapishwa: 15/11/2014
https://firqatunnajia.com/kumchinjia-mtoto-mmoja-na-kutomchinjia-mwingine-aliyekufa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)