Swali: Nikiwa katika safari ambayo mtu anaweza kufupisha Swalah, na Swalah ya ´Aswr ikanifikia na sikuiswali mpaka wakati wake ulipokwisha na nikafika kwa ahli zangu. Je, nilipe Swalah ile kwa kufupisha au kikamilifu?
Jibu: Msafiri akifika kwa ahli zake, analipa (Swalah) zilizompita kikamilifu na hafupishi. Anafupisha tu katika hali yake ya safari, ama akichelewesha kwa mfano ´Aswr, au Dhuhr au ´Ishaa mpaka akafika kwa ahli zake, ataswali Rakaa´ nne, kwa kuwa rukhusa alikuwa nayo katika hali ya safari.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Nuur ´alaad-Darb
- Imechapishwa: 25/03/2018
Swali: Nikiwa katika safari ambayo mtu anaweza kufupisha Swalah, na Swalah ya ´Aswr ikanifikia na sikuiswali mpaka wakati wake ulipokwisha na nikafika kwa ahli zangu. Je, nilipe Swalah ile kwa kufupisha au kikamilifu?
Jibu: Msafiri akifika kwa ahli zake, analipa (Swalah) zilizompita kikamilifu na hafupishi. Anafupisha tu katika hali yake ya safari, ama akichelewesha kwa mfano ´Aswr, au Dhuhr au ´Ishaa mpaka akafika kwa ahli zake, ataswali Rakaa´ nne, kwa kuwa rukhusa alikuwa nayo katika hali ya safari.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Nuur ´alaad-Darb
Imechapishwa: 25/03/2018
https://firqatunnajia.com/kulipa-swalah-ya-safarini-unapofika-katika-mji-wako/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)