Swali: Inajuzu kulipa deni langu la siku moja kabla ya Ramadhaan siku ya jumatano inayokuja?
Jibu: Kwanza tunasema yule ambaye yuko na deni la Ramadhaan basi aanze kulipa kuanzia kesho jumatatu. Kwa sababu Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amekataza mtu kufunga siku moja au mbili kabla ya Ramadhaan. Lakini ikiwa haikuwezekana – mwanamke anaweza kuwa na hedhi inayomzuia kufunga – ni sawa akafunga jumatano au alkhamisi ikiwa sio katika Ramadhaan.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Liqaa´ ash-Shahriy (41) http://binothaimeen.net/content/1495
- Imechapishwa: 14/05/2018
Swali: Inajuzu kulipa deni langu la siku moja kabla ya Ramadhaan siku ya jumatano inayokuja?
Jibu: Kwanza tunasema yule ambaye yuko na deni la Ramadhaan basi aanze kulipa kuanzia kesho jumatatu. Kwa sababu Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amekataza mtu kufunga siku moja au mbili kabla ya Ramadhaan. Lakini ikiwa haikuwezekana – mwanamke anaweza kuwa na hedhi inayomzuia kufunga – ni sawa akafunga jumatano au alkhamisi ikiwa sio katika Ramadhaan.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Liqaa´ ash-Shahriy (41) http://binothaimeen.net/content/1495
Imechapishwa: 14/05/2018
https://firqatunnajia.com/kulipa-deni-la-ramadhaan-siku-ya-shaka/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)