Swali: Mwanamke anataka kulipa deni lake la Ramadhaan siku nane. Je, inahesabiwa akifunga siku ya ´Aashuuraa’?
Jibu: Inategemea na nia yake. Kila kitendo kinategemea na nia. Akinuia kulipa deni lake, ihesabika kuwa ni deni peke yake. Akinuia kufunga siku ya ´Aashuuraa’, itahesabika kuwa ni siku hiyo. Haziingiliani.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (17) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdtf-08011435.mp3
- Imechapishwa: 02/11/2019
Swali: Mwanamke anataka kulipa deni lake la Ramadhaan siku nane. Je, inahesabiwa akifunga siku ya ´Aashuuraa’?
Jibu: Inategemea na nia yake. Kila kitendo kinategemea na nia. Akinuia kulipa deni lake, ihesabika kuwa ni deni peke yake. Akinuia kufunga siku ya ´Aashuuraa’, itahesabika kuwa ni siku hiyo. Haziingiliani.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (17) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdtf-08011435.mp3
Imechapishwa: 02/11/2019
https://firqatunnajia.com/kulipa-deni-la-ramadhaan-siku-ya-aashuuraa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)