Swali: Je, imethibiti kutoka kwa yeyote katika Salaf kwamba amefasiri Allaah kulingana (استواء) juu ya ´Arshi kuwa amekaa?
Jibu: Maana ya kulingana katika lugha inayotambulika, ni kama alivosema Imaam Maalik:
“Kulingana kunatambulika.”
Wanazuoni wametaja kwamba kulingana kuna maana nne:
1 – Kutulia na kuthibiti (استقر).
2 – Kuwa juu (علا).
3 – Kupanda (صعد).
4 – Kuwa juu (ارتفع).
Kuhusu ni namna gani Mola amelingana hakuna anayejua namna yake isipokuwa Yeye (Subhaanahu wa Ta´ala).
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (23)
- Imechapishwa: 20/11/2021
Swali: Je, imethibiti kutoka kwa yeyote katika Salaf kwamba amefasiri Allaah kulingana (استواء) juu ya ´Arshi kuwa amekaa?
Jibu: Maana ya kulingana katika lugha inayotambulika, ni kama alivosema Imaam Maalik:
“Kulingana kunatambulika.”
Wanazuoni wametaja kwamba kulingana kuna maana nne:
1 – Kutulia na kuthibiti (استقر).
2 – Kuwa juu (علا).
3 – Kupanda (صعد).
4 – Kuwa juu (ارتفع).
Kuhusu ni namna gani Mola amelingana hakuna anayejua namna yake isipokuwa Yeye (Subhaanahu wa Ta´ala).
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (23)
Imechapishwa: 20/11/2021
https://firqatunnajia.com/kulingana-%d8%a7%d8%b3%d8%aa%d9%88%d8%a7%d8%a1-kuna-maana-ya-kukaa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)