Swali: Imamu akiswali Rakaa tano katika Swalah ya Dhuhr na akatoa Salaam na baada ya muda mfupi akakumbuka kuwa hakuleta Sujuud-us-Sahuw. Je, aseme “Allaahu Akbar” au hapana?
Jibu: Aseme “Allaahu Akbar” kwa ajili ya Sujuud na aseme “Allaahu Akbar” kwa ajili ya kuinuka. Atapoenda katika Sujuud aseme “Allaahu Akbar” na atapoinuka kusoka kwenye Sujuud aseme “Allaahu Akbar” kama ilivo Sujuud ya Swalah. Ni vile vile.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (06) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1430-8-5.mp3
- Imechapishwa: 10/11/2014
Jibu: Aseme “Allaahu Akbar” kwa ajili ya Sujuud na aseme “Allaahu Akbar” kwa ajili ya kuinuka. Atapoenda katika Sujuud aseme “Allaahu Akbar” na atapoinuka kusoka kwenye Sujuud aseme “Allaahu Akbar” kama ilivo Sujuud ya Swalah. Ni vile vile.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (06) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1430-8-5.mp3
Imechapishwa: 10/11/2014
http://firqatunnajia.com/kuleta-takbiyr-wakati-wa-kwenda-na-kuinuka-katika-sujuud-us-sahuw__trashed/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)