Swali: Mtu akitenzwa nguvu kumpa mkono mwanamke mzee afanye hivo kwa ajili ya kumsalimia kwa kuwa hii ndio ada ya mji wetu?
Jibu: Hapana. Mwanamke ambaye sio Mahram hapewi mkono, sawa ikiwa ni mzee au si mzee. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa anawapa bay´ah wanawake kwa maneno na mkono wake haukuwahi kugusa mkono wa mwanamke ambaye sio halali kwake. Alikuwa anawapa bay´ah wanawake kwa maneno tu.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (33) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1431-10-24_0.mp3
- Imechapishwa: 15/11/2014
Swali: Mtu akitenzwa nguvu kumpa mkono mwanamke mzee afanye hivo kwa ajili ya kumsalimia kwa kuwa hii ndio ada ya mji wetu?
Jibu: Hapana. Mwanamke ambaye sio Mahram hapewi mkono, sawa ikiwa ni mzee au si mzee. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa anawapa bay´ah wanawake kwa maneno na mkono wake haukuwahi kugusa mkono wa mwanamke ambaye sio halali kwake. Alikuwa anawapa bay´ah wanawake kwa maneno tu.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (33) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1431-10-24_0.mp3
Imechapishwa: 15/11/2014
https://firqatunnajia.com/kulazimishwa-kumpa-mkono-mwanamke-mzee/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)