Swali: Je, ni adabu kunyamaza wakati wa kula?
Jibu: Hakuna msingi juu ya hilo. Msingi wakati wa kula na mambo mengine yote ni:
“Yule anayemuamini Allaah na siku ya Mwisho aseme yaliyo na kheri au anyamaze.”
Mambo yanatakiwa kuwa hivyo.
- Mhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Raabigh (3)
- Imechapishwa: 22/07/2017
Swali: Je, ni adabu kunyamaza wakati wa kula?
Jibu: Hakuna msingi juu ya hilo. Msingi wakati wa kula na mambo mengine yote ni:
“Yule anayemuamini Allaah na siku ya Mwisho aseme yaliyo na kheri au anyamaze.”
Mambo yanatakiwa kuwa hivyo.
Mhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Raabigh (3)
Imechapishwa: 22/07/2017
https://firqatunnajia.com/kula-na-unyamaze/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)