Swali: Wakati wa kwenda sokoni mtu huona madhambi mengi. Tunatakiwa kushika msimamo gani? Je, tuwakataze?
Jibu: Unajua jibu:
“Yule katika nyinyi atakayeona maovu basi ayazuie kwa mkono wake. Asipoweza kufanya hivo, afanye hivo kwa mdomo wake. Asipoweza, basi afanye hivo kwa moyo wake – na hiyo ni imani dhaifu kabisa.”[1]
Swali: Ikiwa mtu anaweza kukataza kwa mdomo wake. Je, awakataze wale wote wanaotenda dhambi njiani wakati wa kwenda sokoni?
Jibu: Unakanyaga maji. Jibu ni lile lile juu ya swali hili:
“Yule katika nyinyi atakayeona maovu basi ayazuie kwa mkono wake. Asipoweza kufanya hivo, afanye hivo kwa mdomo wake. Asipoweza, basi afanye hivo kwa moyo wake – na hiyo ni imani dhaifu kabisa.”
Je, anaweza kukataza kila dhambi anayoiona? Ima anaweza kufanya hivo au hawezi kufanya hivo. Jibu ni lile lile.
- Mhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Raabigh (02)
- Imechapishwa: 16/09/2017
Swali: Wakati wa kwenda sokoni mtu huona madhambi mengi. Tunatakiwa kushika msimamo gani? Je, tuwakataze?
Jibu: Unajua jibu:
“Yule katika nyinyi atakayeona maovu basi ayazuie kwa mkono wake. Asipoweza kufanya hivo, afanye hivo kwa mdomo wake. Asipoweza, basi afanye hivo kwa moyo wake – na hiyo ni imani dhaifu kabisa.”[1]
Swali: Ikiwa mtu anaweza kukataza kwa mdomo wake. Je, awakataze wale wote wanaotenda dhambi njiani wakati wa kwenda sokoni?
Jibu: Unakanyaga maji. Jibu ni lile lile juu ya swali hili:
“Yule katika nyinyi atakayeona maovu basi ayazuie kwa mkono wake. Asipoweza kufanya hivo, afanye hivo kwa mdomo wake. Asipoweza, basi afanye hivo kwa moyo wake – na hiyo ni imani dhaifu kabisa.”
Je, anaweza kukataza kila dhambi anayoiona? Ima anaweza kufanya hivo au hawezi kufanya hivo. Jibu ni lile lile.
[1] Ahmad (03/10) na Muslim (49).
Mhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Raabigh (02)
Imechapishwa: 16/09/2017
https://firqatunnajia.com/kukataza-madhambi-wakati-wa-kwenda-sokoni/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)