Swali: Imamu akirefusha kusoma al-Faatihah katika Rak´ah mbili za mwisho. Je, naweza kukariri kisomo mara ya pili?
Jibu: Hapana. Nguzo haikaririwi. Usikariri al-Faatihah katika Rak´ah moja. Usikariri. Nyamaza au unaweza kuleta Dhikr; Tasbiyh, Tahliyl n.k. Hakuna neno. Au unaweza kumuomba Allaah msamaha na rehema.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ls–1428-03-01.mp3
- Imechapishwa: 21/09/2020
Swali: Imamu akirefusha kusoma al-Faatihah katika Rak´ah mbili za mwisho. Je, naweza kukariri kisomo mara ya pili?
Jibu: Hapana. Nguzo haikaririwi. Usikariri al-Faatihah katika Rak´ah moja. Usikariri. Nyamaza au unaweza kuleta Dhikr; Tasbiyh, Tahliyl n.k. Hakuna neno. Au unaweza kumuomba Allaah msamaha na rehema.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ls–1428-03-01.mp3
Imechapishwa: 21/09/2020
https://firqatunnajia.com/kukariri-al-faatihah-katika-rakah-moja/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)