Swali: Ni ipi hukumu ya kuswali na viatu? Je ni wajibu au imependekezwa?
Jibu: Kuswali na viatu inajuzu na imependekezwa wakati fulani. Nafsi yako ikiwa na kitu [katika mashaka na wasiwasi] ni wajibu kwako kuswali na viatu mpaka nafsi yako ikinaike na hukumu hii.
- Mhusika: ´Allaamah Ahmad bin Yahyaa an-Najmiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alnajmi.net/voices.php?action=show&id=167
- Imechapishwa: 20/09/2020
Swali: Ni ipi hukumu ya kuswali na viatu? Je ni wajibu au imependekezwa?
Jibu: Kuswali na viatu inajuzu na imependekezwa wakati fulani. Nafsi yako ikiwa na kitu [katika mashaka na wasiwasi] ni wajibu kwako kuswali na viatu mpaka nafsi yako ikinaike na hukumu hii.
Mhusika: ´Allaamah Ahmad bin Yahyaa an-Najmiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alnajmi.net/voices.php?action=show&id=167
Imechapishwa: 20/09/2020
https://firqatunnajia.com/kujizoweza-kuswali-na-viatu-ikiwa-una-kitu-katika-nafsi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)