Swali: Kutumia manukato yaliyo kwenye chupa yanamfunguza mfungaji akiyapaka mikononi mwake, usoni mwake, mwilini mwake na nguoni mwake?
Jibu: Kutumia manukato kwa njia zilizotajwa hakumfunguzi mfungaji.
- Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (10/255)
- Imechapishwa: 10/06/2017
Swali: Kutumia manukato yaliyo kwenye chupa yanamfunguza mfungaji akiyapaka mikononi mwake, usoni mwake, mwilini mwake na nguoni mwake?
Jibu: Kutumia manukato kwa njia zilizotajwa hakumfunguzi mfungaji.
Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (10/255)
Imechapishwa: 10/06/2017
https://firqatunnajia.com/kujitia-manukato-kunamfunguza-mfungaji/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)