Swali: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Ambaye yatamshinda matapishi basi halazimiki kulipa. Na ambaye atajitapisha basi ni lazima kwake kulipa.”[1]
Ni ipi maana ya Hadiyth hii?
Jibu: Maana yake ni pale ambapo mfungaji atasababisha kutapika swawm yake inabatilika. Kwa sababu ametoa chakula kwenye tumbo lake na hivyo swawm yake inaharibika.
[1] Abu Daawuud (2380), at-Tirmidhiy (720), Ibn Maajah (1676) na Ahmad (10468). Swahiyh kwa mujibu wa al-Albaaniy katika ”Swahiyh-ul-Jaami´ (6243).
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (14) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–14330720.mp3
- Imechapishwa: 09/06/2020
Swali: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Ambaye yatamshinda matapishi basi halazimiki kulipa. Na ambaye atajitapisha basi ni lazima kwake kulipa.”[1]
Ni ipi maana ya Hadiyth hii?
Jibu: Maana yake ni pale ambapo mfungaji atasababisha kutapika swawm yake inabatilika. Kwa sababu ametoa chakula kwenye tumbo lake na hivyo swawm yake inaharibika.
[1] Abu Daawuud (2380), at-Tirmidhiy (720), Ibn Maajah (1676) na Ahmad (10468). Swahiyh kwa mujibu wa al-Albaaniy katika ”Swahiyh-ul-Jaami´ (6243).
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (14) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–14330720.mp3
Imechapishwa: 09/06/2020
https://firqatunnajia.com/kujitapikisha-kunaharibu-swawm/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)