133- Baba yangu alinihadithia: Yahyaa bin Yamaan alinihadithia, kutoka kwa Sufyaan, kutoka kwa Yuunus, kutoka kwa al-Hasan ambaye amesema:
“Hakuna kujisafisha baada ya kutokwa na upepo.”
Nilimsikia baba yangu akisema:
“Nami nasema vivyo hivyo.”
- Mhusika: Imaam ´Abdullaah bin Ahmad bin Hanbal
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ahmad (1/109)
- Imechapishwa: 31/01/2021
133- Baba yangu alinihadithia: Yahyaa bin Yamaan alinihadithia, kutoka kwa Sufyaan, kutoka kwa Yuunus, kutoka kwa al-Hasan ambaye amesema:
“Hakuna kujisafisha baada ya kutokwa na upepo.”
Nilimsikia baba yangu akisema:
“Nami nasema vivyo hivyo.”
Mhusika: Imaam ´Abdullaah bin Ahmad bin Hanbal
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ahmad (1/109)
Imechapishwa: 31/01/2021
https://firqatunnajia.com/kujisafisha-baada-ya-kutokwa-na-upepo/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)