Nilimuuliza baba yangu juu ya mtu ambaye amefanya haja kubwa kisha akajipangusa kwa mawe matatu au akajisafisha kwa maji na akaswali. Je, swalah yake ni sahihi akiwa yuko na maji? Akajibu:
“Kama mawe yanasafisha swalah yake inasihi. Vivyo hivyo akijisafisha kwa maji. Yote mawili yanasihi.”
- Mhusika: Imaam ´Abdullaah bin Ahmad bin Hanbal
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ahmad (1/111)
- Imechapishwa: 05/02/2021
Nilimuuliza baba yangu juu ya mtu ambaye amefanya haja kubwa kisha akajipangusa kwa mawe matatu au akajisafisha kwa maji na akaswali. Je, swalah yake ni sahihi akiwa yuko na maji? Akajibu:
“Kama mawe yanasafisha swalah yake inasihi. Vivyo hivyo akijisafisha kwa maji. Yote mawili yanasihi.”
Mhusika: Imaam ´Abdullaah bin Ahmad bin Hanbal
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ahmad (1/111)
Imechapishwa: 05/02/2021
https://firqatunnajia.com/kujifuta-ingawa-maji-yapo/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)