Wanafalsafa hawakupinga misingi ya dini waziwazi. Kwa kuwa lau wangelikanusha misingi ya imani watu wangelijua ukafiri wao waziwazi. Walichofanya ni kuwatia watu mchanga wa machoni kwa kuwa watu hawa ni wanafiki na mazanadiki na wamejificha nyuma ya Uislamu. Wanathibitisha misingi ya imani hii kimatamshi lakini hawafanyi hivo kihakika. Hawakumuamini Allaah, Malaika Wake, Kitabu Chake, Mtume Wake, siku ya Mwisho kihakika.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajhiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Hidaayah ar-Rabbaaniyyah fiy Sharh al-´Aqiydah at-Twahaawiyyah (01/431)
- Imechapishwa: 19/05/2020
Wanafalsafa hawakupinga misingi ya dini waziwazi. Kwa kuwa lau wangelikanusha misingi ya imani watu wangelijua ukafiri wao waziwazi. Walichofanya ni kuwatia watu mchanga wa machoni kwa kuwa watu hawa ni wanafiki na mazanadiki na wamejificha nyuma ya Uislamu. Wanathibitisha misingi ya imani hii kimatamshi lakini hawafanyi hivo kihakika. Hawakumuamini Allaah, Malaika Wake, Kitabu Chake, Mtume Wake, siku ya Mwisho kihakika.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajhiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Hidaayah ar-Rabbaaniyyah fiy Sharh al-´Aqiydah at-Twahaawiyyah (01/431)
Imechapishwa: 19/05/2020
https://firqatunnajia.com/kujificha-kwa-wanafalsafa-nyuma-ya-uislamu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)