Swali: Siku hizi tunasikia baina ya safu za wanafunzi ya kwamba wanarudisha na kukataa hukumu ya Talaka kutokana na maslahi yanayopatikana; kama kutofautisha na kuwapoteza watoto…
Jibu: Hili ni kwa manaswara. Kwa kuwa manaswara wao ndio ambao hawaruhusu Talaka na walamlazimisha mume kubaki na mke wake maisha yake yote na asimtaliki. Mwenye kusema kuwa Talaka siku hizi haipiti kwa kuwa inafarakanisha, haya ndio maneno yale yale ya manaswara.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/node/9998
- Imechapishwa: 03/03/2018
Swali: Siku hizi tunasikia baina ya safu za wanafunzi ya kwamba wanarudisha na kukataa hukumu ya Talaka kutokana na maslahi yanayopatikana; kama kutofautisha na kuwapoteza watoto…
Jibu: Hili ni kwa manaswara. Kwa kuwa manaswara wao ndio ambao hawaruhusu Talaka na walamlazimisha mume kubaki na mke wake maisha yake yote na asimtaliki. Mwenye kusema kuwa Talaka siku hizi haipiti kwa kuwa inafarakanisha, haya ndio maneno yale yale ya manaswara.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/node/9998
Imechapishwa: 03/03/2018
https://firqatunnajia.com/kujifananisha-na-manaswara-katika-talaka/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)