Swali: Nafanya kazi ya kukusanya swadaqah na zakaah kutoka kwa watenda wema. Baadhi ya nyakati huhitaji kukunua kitu kutoka katika pesa hizi. Je, inafaa kwangu kujiazima nazo kisha baadaye nizirejeshe?
Jibu: Hapana, haijuzu kwako kufanya hivo. Hii ni amana mikononi mwako. Usichukue chochote kutoka katika amana.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (15)
- Imechapishwa: 28/06/2020
Swali: Nafanya kazi ya kukusanya swadaqah na zakaah kutoka kwa watenda wema. Baadhi ya nyakati huhitaji kukunua kitu kutoka katika pesa hizi. Je, inafaa kwangu kujiazima nazo kisha baadaye nizirejeshe?
Jibu: Hapana, haijuzu kwako kufanya hivo. Hii ni amana mikononi mwako. Usichukue chochote kutoka katika amana.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (15)
Imechapishwa: 28/06/2020
https://firqatunnajia.com/kujiazima-kutoka-katika-zakaah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)