Kuitoa zakaah mapema na kuichelewesha

584- Nilimsikia Ahmad akisema:

“Zakaah inaweza kutolewa kabla ya kufika wakati wake ambapo ni lazima kuitoa, lakini haitakiwi kucheleweshwa baada ya kwamba imelazimika kuitoa.”

  • Mhusika: Imaam Abu Daawuud Sulaymaan bin al-Ash´ath as-Sijistaaniy
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ahmad, uk. 121
  • Imechapishwa: 01/03/2021