Swali: Je, inajuzu kuitikia mwaliko wa mtu ambaye anauza mambo ya haramu, kama vile pombe, na vitu vilivyoruhusiwa vilevile?
Jibu: Anatakiwa kususwa. Apewe nasaha. Akiitikia ni sawa. Vinginevyo asuswe na wala watu wasiitikie mwaliko wake mpaka pale atapotubia kwa Allaah na wala asiuze vitu vya haramu kama vile sigara, pombe na bidhaa nyenginezo za haramu.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alharamain.gov.sa//index.cfm?do=cms.AudioDetails&audioid=67941&audiotype=lectures&browseby=speaker
- Imechapishwa: 29/07/2017
Swali: Je, inajuzu kuitikia mwaliko wa mtu ambaye anauza mambo ya haramu, kama vile pombe, na vitu vilivyoruhusiwa vilevile?
Jibu: Anatakiwa kususwa. Apewe nasaha. Akiitikia ni sawa. Vinginevyo asuswe na wala watu wasiitikie mwaliko wake mpaka pale atapotubia kwa Allaah na wala asiuze vitu vya haramu kama vile sigara, pombe na bidhaa nyenginezo za haramu.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alharamain.gov.sa//index.cfm?do=cms.AudioDetails&audioid=67941&audiotype=lectures&browseby=speaker
Imechapishwa: 29/07/2017
https://firqatunnajia.com/kuitikia-mialiko-ya-watenda-maasi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)