Swali: Inajuzu kwangu kuingia chooni na bafuni nikiwa na vitabu vidogo mfukoni?
Jibu: Imechukizwa kuingia na kitu chochote kilicho na utajo wa Allaah. Isipokuwa ikiwa kama anachelea wezi au vikapotea. Katika hali hiyo ndio anaweza kuingia navyo.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (85) http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/17635
- Imechapishwa: 28/06/2018
Swali: Inajuzu kwangu kuingia chooni na bafuni nikiwa na vitabu vidogo mfukoni?
Jibu: Imechukizwa kuingia na kitu chochote kilicho na utajo wa Allaah. Isipokuwa ikiwa kama anachelea wezi au vikapotea. Katika hali hiyo ndio anaweza kuingia navyo.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (85) http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/17635
Imechapishwa: 28/06/2018
https://firqatunnajia.com/kuingia-na-vitabu-vya-dini-chooni/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)