Swali: Ni ipi hukumu ya kuingia chooni na makaratasi yaliyoandikwa jina la Allaah?
Jibu: Inajuzu kuingia chooni na makaratasi yaliyoandikwa “Allaah” maadamu yako mfukoni na hayaonekani. Yanatakiwa yawe yamefichika na kusitirika. Mara nyingi ni vigumu majina kusalimika na utajo wa Allaah. Kama vile ´Abdullaah, ´Abdul-´Aziyz na mfano wake.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (11/109)
- Imechapishwa: 13/06/2017
Swali: Ni ipi hukumu ya kuingia chooni na makaratasi yaliyoandikwa jina la Allaah?
Jibu: Inajuzu kuingia chooni na makaratasi yaliyoandikwa “Allaah” maadamu yako mfukoni na hayaonekani. Yanatakiwa yawe yamefichika na kusitirika. Mara nyingi ni vigumu majina kusalimika na utajo wa Allaah. Kama vile ´Abdullaah, ´Abdul-´Aziyz na mfano wake.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (11/109)
Imechapishwa: 13/06/2017
https://firqatunnajia.com/kuingia-chooni-na-makaratasi-yaliyoandikwa-jina-la-allaah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)