Swali: Ni ipi hukumu ya ambaye anahukumiana kwa isiyokuwa Shari´ah katika nchi inayohukumu kwa Uislamu na Shari´ah?
Jibu: Haijuzu kuhukumu isipokuwa kwa Shari´ah katika nchi yoyote ile. Haijuzu kwa muislamu kuhukumiana isipokuwa kwa Shari´ah ya Allaah (Subhanahu wa Ta´ala). Asitafute kuhukumu kwa kitu kingine.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Nawaaqidh-il-Islaam (09) http://ajurry.com/safrawy/chorohat-elakida/chorohat-nawakid-elislam/charh-salah-fawzan/09.mp3
- Imechapishwa: 29/03/2019
Swali: Ni ipi hukumu ya ambaye anahukumiana kwa isiyokuwa Shari´ah katika nchi inayohukumu kwa Uislamu na Shari´ah?
Jibu: Haijuzu kuhukumu isipokuwa kwa Shari´ah katika nchi yoyote ile. Haijuzu kwa muislamu kuhukumiana isipokuwa kwa Shari´ah ya Allaah (Subhanahu wa Ta´ala). Asitafute kuhukumu kwa kitu kingine.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Nawaaqidh-il-Islaam (09) http://ajurry.com/safrawy/chorohat-elakida/chorohat-nawakid-elislam/charh-salah-fawzan/09.mp3
Imechapishwa: 29/03/2019
https://firqatunnajia.com/kuhukumiana-kinyume-na-shariah-katika-nchi-za-kikafiri/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)