Swali: Kuna muulizaji kutoka nje katika nchi ya kikafiri ambaye anasema kuwa wanaonyesha hadharani michezo ya kichawi na mazingaombwe. Ni ipi hukumu ya kutazama hayo?
Jibu: Haya yapo hata Malaysia, India na sehemu nyingi.
Swali: Vipi hukumu ya kuhudhuria na kutazama?
Jibu: Haijuzu. Isipokuwa kwa yule anayetaka kuyakemea na kubainisha hukumu yake.
Swali: Inajuzu kwenda kwa ajili ya kutaka kujiliwaza kidogo?
Jibu: Hapana, haijuzu. Ni dhambi. Isipokuwa kwa yule anayetaka kuyakemea ili watu watahadhari nayo.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://ia802700.us.archive.org/3/items/Ketab_Taw7eed_Ibn_Baz/27.mp3
- Imechapishwa: 07/10/2018
Swali: Kuna muulizaji kutoka nje katika nchi ya kikafiri ambaye anasema kuwa wanaonyesha hadharani michezo ya kichawi na mazingaombwe. Ni ipi hukumu ya kutazama hayo?
Jibu: Haya yapo hata Malaysia, India na sehemu nyingi.
Swali: Vipi hukumu ya kuhudhuria na kutazama?
Jibu: Haijuzu. Isipokuwa kwa yule anayetaka kuyakemea na kubainisha hukumu yake.
Swali: Inajuzu kwenda kwa ajili ya kutaka kujiliwaza kidogo?
Jibu: Hapana, haijuzu. Ni dhambi. Isipokuwa kwa yule anayetaka kuyakemea ili watu watahadhari nayo.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://ia802700.us.archive.org/3/items/Ketab_Taw7eed_Ibn_Baz/27.mp3
Imechapishwa: 07/10/2018
https://firqatunnajia.com/kuhudhuria-mahali-kunapofanywa-uchawi-na-mazingaombwe/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)