Swali: Watu wengi wanasikiliza kaseti kuhusu Siyrah na mengineyo, lakini nafsi zao zinahisi uzito wanaposikiliza kaseti kuhusu Tawhiyd.
Jibu: Allaah awaongoze. Allaah awaongoze waislamu waliopotea. Hakuna anayehisi uzito na Tawhiyd isipokuwa mnafiki au mtu mwenye Imani dhaifu.
Vilevile malezi yana umuhimu wake. Watoto wa waislamu wakilelewa juu ya kutoitilia umuhimu Tawhiyd wanakuwa ni wenye kuiona nzito. Lakini lau wangelilelewa na wakakuzwa juu yake, wangeliipenda na ingeliwakuwia rahisi.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (61) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13585
- Imechapishwa: 16/11/2014
Swali: Watu wengi wanasikiliza kaseti kuhusu Siyrah na mengineyo, lakini nafsi zao zinahisi uzito wanaposikiliza kaseti kuhusu Tawhiyd.
Jibu: Allaah awaongoze. Allaah awaongoze waislamu waliopotea. Hakuna anayehisi uzito na Tawhiyd isipokuwa mnafiki au mtu mwenye Imani dhaifu.
Vilevile malezi yana umuhimu wake. Watoto wa waislamu wakilelewa juu ya kutoitilia umuhimu Tawhiyd wanakuwa ni wenye kuiona nzito. Lakini lau wangelilelewa na wakakuzwa juu yake, wangeliipenda na ingeliwakuwia rahisi.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (61) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13585
Imechapishwa: 16/11/2014
https://firqatunnajia.com/kuhisi-uzito-wakati-wa-kusoma-tawhiyd/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)