Swali: Inafaa kuhifadhi picha kwenye simu?
Jibu: Haifai isipokuwa kwa lengo sahihi, kama kwa lengo la kulingania katika dini ya Allaah. Hapa hakuna neno. Ama kuifadhi kwa ajili ya kupendezwa nayo au kuipenda na mfano wa hayo haifai.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (93) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighstah%20-20-1-1440_0.mp3
- Imechapishwa: 13/04/2019
Swali: Inafaa kuhifadhi picha kwenye simu?
Jibu: Haifai isipokuwa kwa lengo sahihi, kama kwa lengo la kulingania katika dini ya Allaah. Hapa hakuna neno. Ama kuifadhi kwa ajili ya kupendezwa nayo au kuipenda na mfano wa hayo haifai.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (93) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighstah%20-20-1-1440_0.mp3
Imechapishwa: 13/04/2019
https://firqatunnajia.com/kuhifadhi-picha-kwenye-simu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)