Swali: Je, ni haramu kuhifadhi picha kwenye simu na kwenye kompyuta?
Jibu: Kuna haja gani ya kuhifadhi picha? Haijuzu kuhifadhi picha isipokuwa wakati wa dharurah. Ikiwa hakuna dharurah basi hakuna neno kuhifadhi, kama vile wa picha kwenye kitambulisho, pasipoti au vitu vingine unavohitajia. Hizi inafaa kuhifadhi. Ama kuhifadhi picha pasi na haja ni kitu kilichoharamishwa. Ni kitu kisichojuzu.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (27)
- Imechapishwa: 22/04/2021
Swali: Je, ni haramu kuhifadhi picha kwenye simu na kwenye kompyuta?
Jibu: Kuna haja gani ya kuhifadhi picha? Haijuzu kuhifadhi picha isipokuwa wakati wa dharurah. Ikiwa hakuna dharurah basi hakuna neno kuhifadhi, kama vile wa picha kwenye kitambulisho, pasipoti au vitu vingine unavohitajia. Hizi inafaa kuhifadhi. Ama kuhifadhi picha pasi na haja ni kitu kilichoharamishwa. Ni kitu kisichojuzu.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (27)
Imechapishwa: 22/04/2021
https://firqatunnajia.com/kuhifadhi-picha-kwenye-simu-na-kompyuta/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)