Swali: Ni ipi hukumu muislamu akiharibu nguzo moja miongoni mwa nguzo za imani sita?
Jibu: Akiharibu nguzo moja miongoni mwa nguzo za imani sita hali ya kuwa ni mjinga na mwenye kukadhibisha ni kafiri. Ama ikiwa ni kwa kupindisha maana, kama wale waliopinga mambo kadhaa katika mlango wa Qadar, huyu hakufuru. Kwa sababu ni mwenye kupindisha maana. Lakini wakati fulani kupindisha maana kunakuwa mbali na wakati mwingine kunakuwa karibu.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Nuur ´alaad-Darb (377) http://binothaimeen.net/content/13369
- Imechapishwa: 26/09/2020
Swali: Ni ipi hukumu muislamu akiharibu nguzo moja miongoni mwa nguzo za imani sita?
Jibu: Akiharibu nguzo moja miongoni mwa nguzo za imani sita hali ya kuwa ni mjinga na mwenye kukadhibisha ni kafiri. Ama ikiwa ni kwa kupindisha maana, kama wale waliopinga mambo kadhaa katika mlango wa Qadar, huyu hakufuru. Kwa sababu ni mwenye kupindisha maana. Lakini wakati fulani kupindisha maana kunakuwa mbali na wakati mwingine kunakuwa karibu.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Nuur ´alaad-Darb (377) http://binothaimeen.net/content/13369
Imechapishwa: 26/09/2020
https://firqatunnajia.com/kuharibu-nguzo-moja-wapo-ya-imani/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)