Swali: Kuharibika hali za waislamu ni miongoni mwa alama za Qiyaamah?
Jibu: Hakusemwi kitu juu ya alama za Qiyaamah isipokuwa yale yaliyothibiti kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam); ima yawe yamekuja katika Qur-aan au yawe yametoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Hakusemwi hili kuwa ni katika alama za Qiyaamah ilihali halina dalili yoyote.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/14005
- Imechapishwa: 18/04/2018
Swali: Kuharibika hali za waislamu ni miongoni mwa alama za Qiyaamah?
Jibu: Hakusemwi kitu juu ya alama za Qiyaamah isipokuwa yale yaliyothibiti kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam); ima yawe yamekuja katika Qur-aan au yawe yametoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Hakusemwi hili kuwa ni katika alama za Qiyaamah ilihali halina dalili yoyote.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/14005
Imechapishwa: 18/04/2018
https://firqatunnajia.com/kuharibika-kwa-waislamu-hii-leo-alama-ya-qiyaamah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)