Swali: Yule mwenye kutenda moja katika vitenguzi vya Uislamu anakufurishwa na kila mwenye kumuona au hakuna anayemkufurisha isipokuwa wanachuoni tu?
Jibu: Yule mwenye kutenda moja katika vitenguzi vya Uislamu inatakiwa kwanza kuhakikisha juu ya jambo lake. Huenda akawa mjinga anayepewa udhuru kwa ujinga. Huenda akawa ametenzwa nguvu. Huenda akawa na udhuru. Ikishahakikishwa kwamba hana udhuru wowote na kwamba sio mjinga basi atahukumiwa kwa vile inavyopelekea haki yake.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Nawaaqidh-il-Islaam, uk. 33
- Imechapishwa: 11/05/2018
Swali: Yule mwenye kutenda moja katika vitenguzi vya Uislamu anakufurishwa na kila mwenye kumuona au hakuna anayemkufurisha isipokuwa wanachuoni tu?
Jibu: Yule mwenye kutenda moja katika vitenguzi vya Uislamu inatakiwa kwanza kuhakikisha juu ya jambo lake. Huenda akawa mjinga anayepewa udhuru kwa ujinga. Huenda akawa ametenzwa nguvu. Huenda akawa na udhuru. Ikishahakikishwa kwamba hana udhuru wowote na kwamba sio mjinga basi atahukumiwa kwa vile inavyopelekea haki yake.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Nawaaqidh-il-Islaam, uk. 33
Imechapishwa: 11/05/2018
https://firqatunnajia.com/kuhakikisha-kwanza-kabla-ya-kumkufurisha-muislamu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)