Swali: Ni ipi hukumu ya mirathi ambayo haikugawanywa na imeshafanya miaka mingi?
Jibu: Hiki ni kitu kinachorejea kwa warithi. Ikiwa wanataka kugawa mirathi wataenda kwa Qaadhiy ambapo ataangalia suala lao. Lakini hata hivyo huenda kuna kizuizi katika kugawa. Qaadhiy ataangalia suala hili.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/14763
- Imechapishwa: 21/06/2020
Swali: Ni ipi hukumu ya mirathi ambayo haikugawanywa na imeshafanya miaka mingi?
Jibu: Hiki ni kitu kinachorejea kwa warithi. Ikiwa wanataka kugawa mirathi wataenda kwa Qaadhiy ambapo ataangalia suala lao. Lakini hata hivyo huenda kuna kizuizi katika kugawa. Qaadhiy ataangalia suala hili.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/14763
Imechapishwa: 21/06/2020
https://firqatunnajia.com/kugawa-mirathi-ni-jambo-la-khiyari-kwa-warithi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)