Swali: Je, ni katika Sunnah kufungua kifungo cha juu cha kanzu?
Jibu: Hilo halidhuru. Ama kufungua kifungo kwa njia ya kwamba kifua kikabaki wazi, wanachuoni wamesema kuwa jambo hili linaenda kinyume na muruwa. Jengine pia ni mtu akaikunjua miguu yake mbele za watu. Hili pia linaenda kinyume na muruwa. Ama kufungua kifungua kifungo cha juu kwa sababu joto kali haina madhara.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (08) http://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191309#219638
- Imechapishwa: 22/02/2019
Swali: Je, ni katika Sunnah kufungua kifungo cha juu cha kanzu?
Jibu: Hilo halidhuru. Ama kufungua kifungo kwa njia ya kwamba kifua kikabaki wazi, wanachuoni wamesema kuwa jambo hili linaenda kinyume na muruwa. Jengine pia ni mtu akaikunjua miguu yake mbele za watu. Hili pia linaenda kinyume na muruwa. Ama kufungua kifungua kifungo cha juu kwa sababu joto kali haina madhara.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (08) http://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191309#219638
Imechapishwa: 22/02/2019
https://firqatunnajia.com/kufungua-kifungo-cha-juu-cha-kanzu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)