Swali: Je, inajuzu kufunga siku aliyozaliwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam)?
Jibu: Hapana. Swawm haikuwekwa katika Shari´ah na Allaah na Mtume Wake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Hatukuwekewa Shari´ah tufunge. Ndio, funga kila jumatatu, sio kwa sababu tu imeangukia tarehe 12 Rabiy´ al-Awwal. Funga jumatatu ya kila wiki ndio Sunnah. Ama kufunga jumatatu kwa sababu tu imekutana na 12 Rabiy´ al-Awwal unashereheka kwa sababu ni siku ya mazazi yake Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam), haijuzu kufanya hivo.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://www.alfawzan.af.org.sa/ar/node/7428
- Imechapishwa: 06/11/2019
Swali: Je, inajuzu kufunga siku aliyozaliwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam)?
Jibu: Hapana. Swawm haikuwekwa katika Shari´ah na Allaah na Mtume Wake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Hatukuwekewa Shari´ah tufunge. Ndio, funga kila jumatatu, sio kwa sababu tu imeangukia tarehe 12 Rabiy´ al-Awwal. Funga jumatatu ya kila wiki ndio Sunnah. Ama kufunga jumatatu kwa sababu tu imekutana na 12 Rabiy´ al-Awwal unashereheka kwa sababu ni siku ya mazazi yake Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam), haijuzu kufanya hivo.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://www.alfawzan.af.org.sa/ar/node/7428
Imechapishwa: 06/11/2019
https://firqatunnajia.com/kufunga-siku-ya-mazazi-yake-mtume/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)