Swali: Je, mtu anaweza kufunga siku tatu usiku na mchana katika Ramadhaan na ni badala ya siku thelathini?
Jibu: Haijuzu kufanya hivo na hakuna mwanachuoni yeyote aliyesema hivo. Kwa sababu Kwa sababu usiku sio wakati kufunga. Mwenye kufanya hivo anazingatiwa ameenda kinyume na Shari´ah, amefanya kitu ambacho hakikuwekwa na Allaah katika Shari´ah na amefungua katika Ramadhaan bila ya udhuru. Jengine ni kwa sababu Allaah amewawajibishia wale ambao ´ibaadah ni zenye kuwawajibikia katika waislamu kufunga Ramadhaan yote. Kwa hiyo kufunga baadhi ya siku hazitoshelezi kutokamana na zengine.
- Mhusika: al-Lajnah ad-Daa’imah
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Ladjnah ad-Daa’imah (3089)
- Imechapishwa: 24/04/2020
Swali: Je, mtu anaweza kufunga siku tatu usiku na mchana katika Ramadhaan na ni badala ya siku thelathini?
Jibu: Haijuzu kufanya hivo na hakuna mwanachuoni yeyote aliyesema hivo. Kwa sababu Kwa sababu usiku sio wakati kufunga. Mwenye kufanya hivo anazingatiwa ameenda kinyume na Shari´ah, amefanya kitu ambacho hakikuwekwa na Allaah katika Shari´ah na amefungua katika Ramadhaan bila ya udhuru. Jengine ni kwa sababu Allaah amewawajibishia wale ambao ´ibaadah ni zenye kuwawajibikia katika waislamu kufunga Ramadhaan yote. Kwa hiyo kufunga baadhi ya siku hazitoshelezi kutokamana na zengine.
Mhusika: al-Lajnah ad-Daa’imah
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Ladjnah ad-Daa’imah (3089)
Imechapishwa: 24/04/2020
https://firqatunnajia.com/kufunga-masaa-24-na-kuzingatia-amefunga-siku-mbili/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)