Swali: Baadhi ya watu wanaacha matendo mema kwa kuchelea kujionyesha. Kwa mfano wanaweza kuacha kuswali Sunnah ya Raatibah msikitini kwa kuchelea kujionyesha…
Jibu: Wasiwasi huu unatokana na shaytwaan. Kuacha kufanya matendo kwa ajili ya watu ni shirki. Na kufanya matendo kwa ajili ya watu ni shirki. Kusalimishwa ni wewe usalimishwe na Allaah kutokamana na yote mawili.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (107) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighatoulahfan-22-06-1441.mp3
- Imechapishwa: 05/09/2020
Swali: Baadhi ya watu wanaacha matendo mema kwa kuchelea kujionyesha. Kwa mfano wanaweza kuacha kuswali Sunnah ya Raatibah msikitini kwa kuchelea kujionyesha…
Jibu: Wasiwasi huu unatokana na shaytwaan. Kuacha kufanya matendo kwa ajili ya watu ni shirki. Na kufanya matendo kwa ajili ya watu ni shirki. Kusalimishwa ni wewe usalimishwe na Allaah kutokamana na yote mawili.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (107) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighatoulahfan-22-06-1441.mp3
Imechapishwa: 05/09/2020
https://firqatunnajia.com/kufanya-na-kuacha-kwa-ajili-ya-watu-yote-mawili-ni-shirki/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)