Swali: Ni yapi maoni yako kufuatilia kisimo cha Qur-aan Tukufu katika idhaa ya Qur-aan na kusoma pamoja naye na mimi huku niko nafanya kazi?
Jibu: Hakuna ubaya kufuatilia Qur-aan, lakini iwe kwa kunyamaza na isiwe kwa kusoma. Allaah (Subhaanah) Anasema:
وَإِذَا قُرِئَ الْقُرْآنُ فَاسْتَمِعُوا لَهُ وَأَنصِتُوا لَعَلَّكُمْ تُرْحَمُونَ
“Na inaposomwa Qur-aan, basi isikilizeni kwa makini na mkae kimya (mzingatie) mpate kurehemewa.” (07:204)
Wewe sikiliza na uzingatie anayosoma msomaji na ustafidi kwayo. Ama kusoma pamoja naye hapana. Sunnah ni kunyama, kuzingatia maana yake na kusikiliza mpaka uweze kustafidi kwa Maneno ya Mola Wako (´Azza wa Jalla). Lakini usisome pamoja na msomaji, nyamaza. Hii ndio Mashru´ah.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Nuur ´alaad-Darb
- Imechapishwa: 26/03/2018
Swali: Ni yapi maoni yako kufuatilia kisimo cha Qur-aan Tukufu katika idhaa ya Qur-aan na kusoma pamoja naye na mimi huku niko nafanya kazi?
Jibu: Hakuna ubaya kufuatilia Qur-aan, lakini iwe kwa kunyamaza na isiwe kwa kusoma. Allaah (Subhaanah) Anasema:
وَإِذَا قُرِئَ الْقُرْآنُ فَاسْتَمِعُوا لَهُ وَأَنصِتُوا لَعَلَّكُمْ تُرْحَمُونَ
“Na inaposomwa Qur-aan, basi isikilizeni kwa makini na mkae kimya (mzingatie) mpate kurehemewa.” (07:204)
Wewe sikiliza na uzingatie anayosoma msomaji na ustafidi kwayo. Ama kusoma pamoja naye hapana. Sunnah ni kunyama, kuzingatia maana yake na kusikiliza mpaka uweze kustafidi kwa Maneno ya Mola Wako (´Azza wa Jalla). Lakini usisome pamoja na msomaji, nyamaza. Hii ndio Mashru´ah.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Nuur ´alaad-Darb
Imechapishwa: 26/03/2018
https://firqatunnajia.com/kufanya-kazi-na-huku-mtu-anamuiga-msomaji-wa-qur-aan/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)