Swali: Ni ipi hukumu ya kufanya kazi katika duka linalouza bidhaa za haramu kama vile nyama ya nguruwe?
Jibu: Haijuzu kufanya kazi katika maduka yanayouza bidhaa za haramu, kwa sababu kufanya hivo ni kusaidiana katika madhambi na uadui. Kwa hivyo haijuzu kufanya hivo.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (27)
- Imechapishwa: 16/04/2021
Swali: Ni ipi hukumu ya kufanya kazi katika duka linalouza bidhaa za haramu kama vile nyama ya nguruwe?
Jibu: Haijuzu kufanya kazi katika maduka yanayouza bidhaa za haramu, kwa sababu kufanya hivo ni kusaidiana katika madhambi na uadui. Kwa hivyo haijuzu kufanya hivo.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (27)
Imechapishwa: 16/04/2021
https://firqatunnajia.com/kufanya-kazi-kwenye-duka-linalouza-bidhaa-za-haramu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)