Swali: Ni ipi hukumu ya kufanya kazi benki kutokana na haja?
Jibu: Haijuzu kufanya kazi benki. Benki zina miamala ya ribaa na hivyo hiajuzu kufanya kazi ndani yake. Kwa sababu huko ni kusaidiana katika dhambi na uadui. Haijuzu kusaidiana. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amemlaani mla ribaa, mwakilishi wake, mwandishi wake na shahidi wake. Amesema:
“Wote wanalingana.”
Mwandishi na mwenye kushuhudia ribaa ni wenye kushiriki. Anayewateua anakuwa ima ni mhasibu, mwagizaji au msimamizi. Ndani yake kuna kuwasaidia juu ya mabalaa yao.
Swali: Vipi kuhusu yule ambaye anahifadhi pesa yake humo?
Jibu: Haitakikani kuzihifadhi humo. Lakini hakuna neno endapo haja itapelekea yeye kufanya hivo. Dharurah ni kama yeye kuzihifadhi humo kwa sababu ya kuchelea pesa zake na wakati huohuo hana mahali pengine anaweza kuzihifadhi. Hivyo azihifadhi humo bila ya kupokea faida.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaad-Duruus https://binbaz.org.sa/fatwas/4290/%D8%AD%D9%83%D9%85-%D8%A7%D9%84%D8%B9%D9%85%D9%84-%D8%A8%D8%A7%D9%84%D8%A8%D9%86%D9%88%D9%83-%D9%84%D9%84%D8%AD%D8%A7%D8%AC%D8%A9-%D9%88%D8%A7%D9%84%D8%B6%D8%B1%D9%88%D8%B1%D8%A9
- Imechapishwa: 02/07/2020
Swali: Ni ipi hukumu ya kufanya kazi benki kutokana na haja?
Jibu: Haijuzu kufanya kazi benki. Benki zina miamala ya ribaa na hivyo hiajuzu kufanya kazi ndani yake. Kwa sababu huko ni kusaidiana katika dhambi na uadui. Haijuzu kusaidiana. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amemlaani mla ribaa, mwakilishi wake, mwandishi wake na shahidi wake. Amesema:
“Wote wanalingana.”
Mwandishi na mwenye kushuhudia ribaa ni wenye kushiriki. Anayewateua anakuwa ima ni mhasibu, mwagizaji au msimamizi. Ndani yake kuna kuwasaidia juu ya mabalaa yao.
Swali: Vipi kuhusu yule ambaye anahifadhi pesa yake humo?
Jibu: Haitakikani kuzihifadhi humo. Lakini hakuna neno endapo haja itapelekea yeye kufanya hivo. Dharurah ni kama yeye kuzihifadhi humo kwa sababu ya kuchelea pesa zake na wakati huohuo hana mahali pengine anaweza kuzihifadhi. Hivyo azihifadhi humo bila ya kupokea faida.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaad-Duruus https://binbaz.org.sa/fatwas/4290/%D8%AD%D9%83%D9%85-%D8%A7%D9%84%D8%B9%D9%85%D9%84-%D8%A8%D8%A7%D9%84%D8%A8%D9%86%D9%88%D9%83-%D9%84%D9%84%D8%AD%D8%A7%D8%AC%D8%A9-%D9%88%D8%A7%D9%84%D8%B6%D8%B1%D9%88%D8%B1%D8%A9
Imechapishwa: 02/07/2020
https://firqatunnajia.com/kufanya-kazi-benki-kwa-sababu-ya-haja/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)