Swali: Je, Anaashiyd ni njia miongoni mwa njia za kufanya Da´wah?
Jibu: Hakuna mambo ya Anaashiyd za Kiislamu. Kuzipachika jina kwamba ni za “Kiislamu” hili ni kosa. Afadhali waseme “Anaashiyd” tu. Hili ni kwa Suufiyyah. Anaashiyd ni Dini yao. Ama Ahl-us-Sunnah, hawana Anaashiyd za Kiislamu, kamwe!
Lakini wako na mashairi. Mashairi yalikuwa yakisomwa wakati wa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Kuna tofauti kati ya shairi na Anaashiyd. Mashairi yanajuzu. Ama Anaashiyd ni jambo limezushwa katika Dini.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://www.youtube.com/watch?v=yzZUjphdczs
- Imechapishwa: 10/11/2014
Jibu: Hakuna mambo ya Anaashiyd za Kiislamu. Kuzipachika jina kwamba ni za “Kiislamu” hili ni kosa. Afadhali waseme “Anaashiyd” tu. Hili ni kwa Suufiyyah. Anaashiyd ni Dini yao. Ama Ahl-us-Sunnah, hawana Anaashiyd za Kiislamu, kamwe!
Lakini wako na mashairi. Mashairi yalikuwa yakisomwa wakati wa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Kuna tofauti kati ya shairi na Anaashiyd. Mashairi yanajuzu. Ama Anaashiyd ni jambo limezushwa katika Dini.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://www.youtube.com/watch?v=yzZUjphdczs
Imechapishwa: 10/11/2014
http://firqatunnajia.com/kufanya-dawah-kwa-njia-ya-anaashiyd/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)