Swali: Maoni ya wanachuoni wengi kuhusu uharamu wa vita katika miezi mitukufu ni hukumu iliofutwa ndio maoni yenye nguvu? Ni Aayah ipi iliyokuja kufuta vita katika miezi hii mitukufu?
Jibu: Wanachuoni wengi wanaona kwamba uharamu wa kupigana vita katika miezi mitukufu ni hukumu iliyofutwa. Dalili ya hilo ni kwamba Maswahabah (Radhiya Allaahu ´anhum) walikuwa wakipigana vita katika miezi mitukufu baada ya kufa kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (11) https://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191491#219817
- Imechapishwa: 30/05/2019
Swali: Maoni ya wanachuoni wengi kuhusu uharamu wa vita katika miezi mitukufu ni hukumu iliofutwa ndio maoni yenye nguvu? Ni Aayah ipi iliyokuja kufuta vita katika miezi hii mitukufu?
Jibu: Wanachuoni wengi wanaona kwamba uharamu wa kupigana vita katika miezi mitukufu ni hukumu iliyofutwa. Dalili ya hilo ni kwamba Maswahabah (Radhiya Allaahu ´anhum) walikuwa wakipigana vita katika miezi mitukufu baada ya kufa kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (11) https://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191491#219817
Imechapishwa: 30/05/2019
https://firqatunnajia.com/kufaa-kupigana-vita-katika-miezi-mitukufu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)