Swali: Kufa siku ya ijumaa ni miongoni mwa alama za mwisho mwema?
Jibu: Hapana. Kifo kinakuwa wakati wowote katika ngazi moja. Hili hata kama kuna masiku yenye sifa za kipekee. Lakini tukisema hivo basi jumatatu ina haki zaidi. Kwa sababu ndio siku aliokufa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Lakini sijui siku yoyote kwamba ina sifa maalum inapokuja katika kifo.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://binothaimeen.net/content/13332
- Imechapishwa: 12/06/2018
Swali: Kufa siku ya ijumaa ni miongoni mwa alama za mwisho mwema?
Jibu: Hapana. Kifo kinakuwa wakati wowote katika ngazi moja. Hili hata kama kuna masiku yenye sifa za kipekee. Lakini tukisema hivo basi jumatatu ina haki zaidi. Kwa sababu ndio siku aliokufa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Lakini sijui siku yoyote kwamba ina sifa maalum inapokuja katika kifo.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://binothaimeen.net/content/13332
Imechapishwa: 12/06/2018
https://firqatunnajia.com/kufa-siku-ya-ijumaa-ni-alama-ya-mwisho-mwema/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)