Kufa kabla ya kutokea al-Masiyd ad-Dajjaal

Swali: Mwenye kufa kabla ya kujitokeza al-Masiyh ad-Dajjaal anakuwa amesalimika na fitina yake?

Jibu: Huyu amesalimika naye na himdi zote ni Zake Allaah.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/montqa14340202.mp3
  • Imechapishwa: 19/09/2020