Swali: Ni ipi hukumu ya kueneza picha ya maiti katika vyombo vya mawasiliano kwa hoja ya kuwapa watu mawaidha kwa kufa kwake?
Jibu: Picha ni haramu, ni mamoja ya maiti na ya waliohai. Na ikiwa makusudio ya kufanya hivi ni kwa ajili ya masikitiko na kuhuzunika juu yake, haya ni Nay´[1] na haijuzu.
[1] http://firqatunnajia.com/17-yaliyo-haramu-kwa-ndugu-wa-karibu-wa-maiti-ii/
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (11) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1430-11-6.mp3
- Imechapishwa: 11/11/2014
Jibu: Picha ni haramu, ni mamoja ya maiti na ya waliohai. Na ikiwa makusudio ya kufanya hivi ni kwa ajili ya masikitiko na kuhuzunika juu yake, haya ni Nay´[1] na haijuzu.
[1] http://firqatunnajia.com/17-yaliyo-haramu-kwa-ndugu-wa-karibu-wa-maiti-ii/Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (11) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1430-11-6.mp3
Imechapishwa: 11/11/2014
http://firqatunnajia.com/kueneza-picha-ya-maiti-katika-vyombo-vya-mawasiliano/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)