Swali: Kuenea kwa maovu kunazingatiwa ni kudhoofika kwa Tawhiyd kati ya watu?
Jibu: Ndio, ni kudhoofika kwa imani mtu kujitanguliza kwenye maasi. Mtu akiwa na imani yenye nguvu anajitenga mbali na maasi. Hakuna anayeyaendea maasi isipokuwa yule mwenye imani dhaifu, uchache wa elimu na kumwogopa Allaah.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Kashf-ish-Shubuhaat, uk. 94
- Imechapishwa: 25/07/2019
Swali: Kuenea kwa maovu kunazingatiwa ni kudhoofika kwa Tawhiyd kati ya watu?
Jibu: Ndio, ni kudhoofika kwa imani mtu kujitanguliza kwenye maasi. Mtu akiwa na imani yenye nguvu anajitenga mbali na maasi. Hakuna anayeyaendea maasi isipokuwa yule mwenye imani dhaifu, uchache wa elimu na kumwogopa Allaah.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Kashf-ish-Shubuhaat, uk. 94
Imechapishwa: 25/07/2019
https://firqatunnajia.com/kuenea-kwa-maasi-katika-jamii-ni-udhaifu-wa-tawhiyd/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)