Swali: Mimi sitoki katika nchi hii [Saudi Arabia], bali ninatoka katika nchi ya Shaam. Je, inajuzu kwangu kuswali kwa kuelekea Yerusalemu?
Jibu: Tunamuomba Allaah afya. Anayeswali kwa kuelekea Yerusalemu anakufuru. Kwa kuwa kutendea kazi jambo lililofutwa haijuzu. Kinachofanyiwa kazi ni kile kilichofuta na sio kile kilichofutwa. Lau leo mtu ataelekea Yerusalemu anakufuru. Kuelekea Yerusalemu ilikuwa kabla ya hukumu hiyo kufutwa.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (47) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1432-04-08.mp3
- Imechapishwa: 16/11/2014
Swali: Mimi sitoki katika nchi hii [Saudi Arabia], bali ninatoka katika nchi ya Shaam. Je, inajuzu kwangu kuswali kwa kuelekea Yerusalemu?
Jibu: Tunamuomba Allaah afya. Anayeswali kwa kuelekea Yerusalemu anakufuru. Kwa kuwa kutendea kazi jambo lililofutwa haijuzu. Kinachofanyiwa kazi ni kile kilichofuta na sio kile kilichofutwa. Lau leo mtu ataelekea Yerusalemu anakufuru. Kuelekea Yerusalemu ilikuwa kabla ya hukumu hiyo kufutwa.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (47) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1432-04-08.mp3
Imechapishwa: 16/11/2014
https://firqatunnajia.com/kuelekea-qiblah-jerusalemu-wakati-wa-kuswali/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)