Swali: Inafaa kudhihirisha kasoro za mtawala wa waislamu mbele ya jamii na mbele za watu?
Jibu: Mmekwishasikia jawabu mara nyingi tu ya kwamba haijuzu kuwasema vibaya watawala. Hili linasababisha shari, jamii kumwaga damu, kufarikisha umoja wa waislamu, wananchi kumchukia mtawala mpasuko na shari. Jambo linaweza kupelekea watu wakamfanyia uasi mtawala, kumwagika damu na mambo ambayo mwisho wake ukawa mbaya. Ukiwa na jambo basi mfikishie mtawala kwa njia ya siri. Ima unaweza kumfikishia kwa kumwambia kwa mdomo ukiweza kufanya hivo au kwa kumwandikia barua na kuwapigia simu na kuwafikishia. Kumpa nasaha mtawala inakuwa kwa njia ya siri. Haiwi hadharani. Haya yamekuja katika Hadiyth:
“Yule anayetaka kumnasihi mtawala basi amshike mkono na amnasihi kwa siri.”
Kumekuja maana kama hii katika Hadiyth.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Nawaaqidhl-il-Islaam (08) http://ajurry.com/safrawy/chorohat-elakida/chorohat-nawakid-elislam/charh-salah-fawzan/08.mp3
- Imechapishwa: 16/02/2019
Swali: Inafaa kudhihirisha kasoro za mtawala wa waislamu mbele ya jamii na mbele za watu?
Jibu: Mmekwishasikia jawabu mara nyingi tu ya kwamba haijuzu kuwasema vibaya watawala. Hili linasababisha shari, jamii kumwaga damu, kufarikisha umoja wa waislamu, wananchi kumchukia mtawala mpasuko na shari. Jambo linaweza kupelekea watu wakamfanyia uasi mtawala, kumwagika damu na mambo ambayo mwisho wake ukawa mbaya. Ukiwa na jambo basi mfikishie mtawala kwa njia ya siri. Ima unaweza kumfikishia kwa kumwambia kwa mdomo ukiweza kufanya hivo au kwa kumwandikia barua na kuwapigia simu na kuwafikishia. Kumpa nasaha mtawala inakuwa kwa njia ya siri. Haiwi hadharani. Haya yamekuja katika Hadiyth:
“Yule anayetaka kumnasihi mtawala basi amshike mkono na amnasihi kwa siri.”
Kumekuja maana kama hii katika Hadiyth.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Nawaaqidhl-il-Islaam (08) http://ajurry.com/safrawy/chorohat-elakida/chorohat-nawakid-elislam/charh-salah-fawzan/08.mp3
Imechapishwa: 16/02/2019
https://firqatunnajia.com/kudhihirisha-maovu-ya-mtawala-mbele-za-watu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)